Mistari ya Biblia kuhusu Prisons: Persons accused of heresy
Mistari kuhusu Persons accused of heresy
Wakawakamata Petro na Yohana na kuwatia gerezani mpaka kesho yake kwa kuwa ilikuwa jioni.
Wakawakamata mitume na kuwatia gerezani.
Lakini kwa habari ya Sauli alikuwa analiharibu kanisa, akiingia nyumba kwa nyumba, akiwaburuta wanawake na wanaume na kuwatupa gerezani.