Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Phut

7 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.

  2. Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.

  3. Songeni mbele, enyi farasi! Endesheni kwa ukali, enyi magari ya farasi, Endeleeni mbele, enyi mashujaa: watu wa Kushi na Putu wachukuao ngao, watu wa Ludi wavutao upinde.

  4. “ ‘Watu wa Uajemi, Ludi na Putu walikuwa askari katika jeshi lako. Walitundika ngao zao na chapeo zao kwenye kuta zako, wakileta fahari yako.

  5. Kushi na Putu, Ludi na Arabia yote, Libya na watu wa nchi ya Agano watauawa kwa upanga pamoja na Misri.

  6. Uajemi, Kushi na Putu watakuwa pamoja nao, wote wakiwa na ngao na kofia za chuma,

  7. Kushi na Misri walikuwa nguvu zake zisizo na mpaka; Putu na Libia walikuwa miongoni mwa wale walioungana naye.