Mistari ya Biblia kuhusu Phenicia: Inhabitants of, descended from Canaan
Mistari kuhusu Inhabitants of, descended from Canaan
Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.