Mistari ya Biblia kuhusu Peace: God is the author of
Mistari kuhusu God is the author of
Huwapa amani mipakani mwenu na kukushibisha kwa ngano safi kabisa.
Mimi ninaumba nuru na kuhuluku giza, ninaleta mafanikio na kusababisha maafa. Mimi, Bwana, huyatenda haya yote.
Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko bali ni Mungu wa amani. Kama ilivyo katika makusanyiko yote ya watakatifu,