Mistari ya Biblia kuhusu Peace Offerings: By David after the plague
Mistari kuhusu By David after the plague
Kisha Daudi akamjengea Bwana madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Kisha Bwana akajibu kwa ajili ya nchi, nayo tauni ikakoma katika Israeli.