Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Nethinim

35 mistari · 8 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

Chuja kwa kitabu
  1. wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,

  2. wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,

  3. wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

  4. wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

  5. wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

  6. wazao wa Nesia na Hatifa.

  7. Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392

  8. “Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu, na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,

  9. basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za Bwana, Bwana wetu.

  10. Watumishi wa Hekalu waliishi katika kilima cha Ofeli. Siha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao.