Mistari ya Biblia kuhusu Nethinim: The remnant of the Canaanites appointed as, by Solomon
Mistari kuhusu The remnant of the Canaanites appointed as, by Solomon
Watu wote waliosalia kutoka kwa Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi na Wayebusi (mataifa haya hayakuwa Waisraeli),
yaani, wazao wao waliobakia katika nchi, ambao Waisraeli hawangeweza kuwaangamiza kabisa: hawa Solomoni akawalazimisha kuwa watumwa katika shokoa, kama ilivyo hadi leo.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392