Mistari ya Biblia kuhusu Music: Cymbals
Mistari kuhusu Cymbals
Asafu ndiye alikuwa mkuu wao, akisaidiwa na Zekaria, Yeieli, Shemiramothi, Yehieli, Matithia, Eliabu, Benaya, Obed-Edomu na Yeieli. Hawa ndio wangepiga zeze na vinubi, Asafu angepiga matoazi,
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.