Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Mother

34 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

Chuja kwa kitabu
  1. basi hana tena sababu ya kumheshimu baba yake nacho. Basi kwa ajili ya mafundisho yenu mnavunja amri ya Mungu.

  2. waheshimu baba yako na mama yako, na umpende jirani yako kama nafsi yako.”

  3. Kwa mfano, Mose alisema, ‘Waheshimu baba yako na mama yako,’ na, ‘Yeyote amtukanaye baba yake au mama yake, na auawe.’

  4. Lakini ninyi mwafundisha kwamba mtu akimwambia baba yake au mama yake, ‘Kile ambacho ningeweza kukusaidia ni Korbani’ (yaani kimewekwa wakfu kwa Mungu),

  5. basi hawajibiki tena kumsaidia baba yake au mama yake.

  6. Unazijua amri: ‘Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo, usidanganye, waheshimu baba yako na mama yako.’ ”

  7. Unazijua amri: ‘Usizini, usiue, usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako.’ ”

  8. “Waheshimu baba yako na mama yako,” hii ndio amri ya kwanza yenye ahadi,

  9. Nimekuwa nikiikumbuka imani yako ya kweli, waliokuwa nayo bibi yako Loisi na mama yako Eunike na ambayo mimi ninasadiki sasa wewe pia unayo.