Mistari ya Biblia kuhusu Money: Gold and silver used as
Mistari kuhusu Gold and silver used as
Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.
Lakini Balaamu akawajibu, “Hata kama Balaki angenipa jumba lake la kifalme likiwa limejazwa fedha na dhahabu, singeweza kufanya kitu chochote kikubwa au kidogo ili kutenda kitu nje ya agizo la Bwana Mungu wangu.