Mistari ya Biblia kuhusu Medes: Supremacy of, in the Chaldean empire
Mistari kuhusu Supremacy of, in the Chaldean empire
Peresi: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”
naye Dario Mmedi akashika ufalme akiwa na miaka sitini na miwili.
Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario mwana wa Ahasuero (mzaliwa wa Umedi), ambaye alifanywa mtawala juu ya ufalme wa Babeli,
Nami katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario Mmedi, nilisimama kumsaidia na kumlinda.)