Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Medes: Israelites distributed among, when carried to Assyria

2 mistari · 4 vipengele

Mistari kuhusu Israelites distributed among, when carried to Assyria

  1. Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru akaiteka Samaria na kuwahamishia Waisraeli huko Ashuru. Akawaweka huko Hala, na Gozani karibu na Mto Habori, na katika miji ya Wamedi.

  2. Mfalme wa Ashuru akawahamishia Waisraeli huko Ashuru na akawaweka Hala, na Gozani karibu na Mto Habori, na katika miji ya Wamedi.