Mistari ya Biblia kuhusu Light: Created
Mistari kuhusu Created
Mungu akasema, “Iwepo nuru,” nayo nuru ikawepo.
Mungu akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mungu akatenganisha nuru na giza.
Mungu akaiita nuru “mchana,” na giza akaliita “usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.