Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Judges of Israel: The sons of Samuel

5 mistari · 17 vipengele

Mistari kuhusu The sons of Samuel

  1. Samweli alipokuwa mzee, akaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli.

  2. Mzaliwa wa kwanza alikuwa Yoeli, na la wa pili lilikuwa Abiya, nao wakatumika huko Beer-Sheba.

  3. Lakini wanawe hawakuenenda katika njia zake. Waliziacha wakageukia faida za udanganyifu nao wakapokea rushwa na kupotosha haki.

  4. Basi wazee wote wa Israeli wakakusanyika pamoja na kumjia Samweli huko Rama.

  5. Wakamwambia, “Wewe umekuwa mzee, nao wanao hawaenendi katika njia zako, sasa tuteulie mfalme wa kutuongoza, kama ilivyo kwa mataifa mengine yote.”