Mistari ya Biblia kuhusu Jared: 1. Called Jered, a descendant of Seth
Mistari kuhusu 1. Called Jered, a descendant of Seth
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki.
Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.