Mistari ya Biblia kuhusu Idolatry: Worshipping demons
Mistari kuhusu Worshipping demons
kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.”
Yesu akamwambia, “Ondoka mbele yangu, Shetani! Kwa maana imeandikwa, ‘Mwabudu Bwana Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake.’ ”