Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Idolatry: Forbidden to practise

5 mistari · 205 vipengele

Mistari kuhusu Forbidden to practise

  1. Ndipo Mungu akasema maneno haya yote:

  2. “Mimi ndimi Bwana Mungu wako, niliyekutoa Misri, kutoka nchi ya utumwa.

  3. Usiwe na miungu mingine ila mimi.

  4. Usijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote kilicho juu mbinguni, au duniani chini, au ndani ya maji.

  5. Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, Bwana Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto kwa ajili ya dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,