Mistari ya Biblia kuhusu Humility: Are greatest in Christ's kingdom
Mistari kuhusu Are greatest in Christ's kingdom
Isiwe hivyo kwenu. Badala yake, yeyote anayetaka kuwa mkuu miongoni mwenu hana budi kuwa mtumishi wenu,
naye anayetaka kuwa wa kwanza miongoni mwenu hana budi kuwa mtumwa wenu:
kama vile ambavyo Mwana wa Adamu hakuja ili kutumikiwa, bali kutumika na kuutoa uhai wake uwe fidia kwa ajili ya wengi.”