Mistari ya Biblia kuhusu Eleazer: 2. An inhabitant of Kirjath-Jearim who attended the ark
Mistari kuhusu 2. An inhabitant of Kirjath-Jearim who attended the ark
Kisha watu wa Kiriath-Yearimu wakaja na kulichukua Sanduku la Bwana. Wakalipeleka katika nyumba ya Abinadabu juu kilimani na kumweka Eleazari mwanawe wakfu kulichunga Sanduku la Bwana.
Sanduku la Bwana lilibakia huko Kiriath-Yearimu kwa muda mrefu, yaani jumla ya miaka ishirini, nao watu wa Israeli wakaomboleza na kumtafuta Bwana.