Eleazar
Mistari inayomtaja Eleazar
Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Wana wa Mahli walikuwa: Eleazari na Kishi.
Eleazari akafa bila ya kuwa na wana: alikuwa na binti tu. Binamu zao, wana wa Kishi, wakawaoa.
Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.