Skip to content

Eleazar

1 mstari · 3 wanafamilia

Mistari inayomtaja Eleazar

  1. Kisha watu wa Kiriath-Yearimu wakaja na kulichukua Sanduku la Bwana. Wakalipeleka katika nyumba ya Abinadabu juu kilimani na kumweka Eleazari mwanawe wakfu kulichunga Sanduku la Bwana.