Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Beasts: Not eaten

5 mistari · 90 vipengele

Mistari kuhusu Not eaten

  1. “ ‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao kamwe msiwale. Ngamia ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; kwa kawaida ya ibada hiyo ni najisi kwenu.

  2. Pelele ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.

  3. Sungura ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.

  4. Naye nguruwe ingawa anazo kwato zilizogawanyika sehemu mbili, hacheui; huyo ni najisi kwenu.

  5. Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.