Mistari ya Biblia kuhusu Bashan: Invaded and taken by Hazael, king of Syria
Mistari kuhusu Invaded and taken by Hazael, king of Syria
Katika siku hizo, Bwana akaanza kupunguza ukubwa wa Israeli. Hazaeli akawashinda Waisraeli sehemu zote za nchi yao
mashariki ya Yordani, katika nchi yote ya Gileadi (eneo la Gadi, Reubeni na Manase), kutoka Aroeri karibu na Bonde la Arnoni kupitia Gileadi hadi Bashani.