Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Arphaxad

6 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Hivi ndivyo vizazi vya Shemu. Miaka miwili baada ya gharika, Shemu alipokuwa na miaka 100, akamzaa Arfaksadi.

  2. Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

  3. Wakati Arfaksadi alipokuwa na miaka thelathini na mitano, akamzaa Shela.

  4. Baada ya Arfaksadi kumzaa Shela, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

  5. Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu. Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.

  6. Arfaksadi akamzaa Shela, Shela akamzaa Eberi.