Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Amariah: 1. Two Levites

4 mistari · 7 vipengele

Mistari kuhusu 1. Two Levites

  1. Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,

  2. Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,

  3. Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.

  4. Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.