Mistari ya Biblia kuhusu Amariah: 1. Two Levites
Mistari kuhusu 1. Two Levites
Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria, Amaria akamzaa Ahitubu,
Wana wa Hebroni walikuwa: Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.
Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.