Mistari ya Biblia kuhusu Altars: Of Moses
Mistari kuhusu Of Moses
Mose akajenga madhabahu na kuiita Yehova Nisi.
Ndipo Mose akaandika kila kitu Bwana alichokuwa amesema. Akaamka kesho yake asubuhi na mapema na kujenga madhabahu chini ya mlima na kusimamisha nguzo kumi na mbili za mawe kuwakilisha makabila kumi na mawili ya Israeli.