Mistari ya Biblia kuhusu Altars: Of Jeroboam at Bethel
Mistari kuhusu Of Jeroboam at Bethel
Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane, mwezi aliouchagua mwenyewe, alitoa dhabihu juu ya madhabahu aliyokuwa amejenga huko Betheli. Kwa hiyo akaweka sikukuu kwa ajili ya Waisraeli na akapanda madhabahuni kutoa sadaka.