Mistari ya Biblia kuhusu Aaron: Age of, at death
Mistari kuhusu Age of, at death
Mose alikuwa na umri wa miaka themanini na Aroni alikuwa na umri wa miaka themanini na mitatu walipozungumza na Farao.
Kwa amri ya Bwana, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.
Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.