Skip to content

Mareshah

6 verses

31.6000, 34.9000 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Mareshah

  1. Keila, Akzibu na Maresha; yote ni miji tisa pamoja na vijiji vyake.

  2. Gathi, Maresha, Zifu,

  3. Zera Mkushi akatoka kupigana dhidi yao akiwa na jeshi la watu maelfu ya maelfu na magari ya vita 300, nao wakaja mpaka Maresha.

  4. Asa akatoka kumkabili, nao wakapanga vita katika Bonde la Sefatha karibu na Maresha.

  5. Ndipo Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha akatoa unabii dhidi ya Yehoshafati, akasema, “Kwa kuwa umeungana na Ahazia, Bwana ataangamiza vile mlivyotengeneza.” Zile meli zikavunjika na hazikuweza kungʼoa nanga ili kwenda Tarshishi.

  6. Nitawaleteeni atakayewashinda ninyi mnaoishi Maresha. Yeye aliye utukufu wa Israeli atakuja Adulamu.