Skip to content

Hazeroth

5 verses

28.9100, 34.5000 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Hazeroth

  1. Kutoka Kibroth-Hataava watu wakasafiri mpaka Haserothi na kukaa huko.

  2. Baada ya hayo, watu waliondoka Haserothi, wakapiga kambi katika Jangwa la Parani.

  3. Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.

  4. Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.

  5. Haya ni maneno Mose aliyoyasema kwa Israeli yote jangwani mashariki ya Yordani, ambayo iko Araba, inayokabiliana na Sufu, kati ya Parani na Tofeli, Labani, Haserothi na Dizahabu.