Rukia maudhui

Heber

6 mistari · 6 wanafamilia

Mistari inayomtaja Heber

  1. Wana wa Asheri ni: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera. Wana wa Beria ni: Heberi na Malkieli.

  2. kutoka kwa wazao wa Beria: kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi; kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.

  3. Wana wa Beria walikuwa: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.

  4. Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.

  5. Yoana mkewe Kuza, msimamizi wa nyumba ya watu wa nyumbani mwa Herode; Susana; na wengine wengi waliokuwa wakimhudumia kwa mali zao.

  6. alisema, “Nitasikiliza shauri lako washtaki wako watakapofika hapa.” Kisha akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi kwenye jumba la kifalme la Herode.