Rukia maudhui
Ufunuo 11:1-2

Kupimwa kwa Hekalu na Mji Mtakatifu

Ufunuo 11:1-2
1
Ndipo nikapewa mwanzi uliokuwa kama ufito wa kupimia, nikaambiwa, “Nenda ukapime hekalu la Mungu pamoja na madhabahu, nawe uwahesabu wale waabuduo humo.
2
Lakini usiupime ua wa nje wa Hekalu, uache, kwa sababu ua huo wamepewa watu wa Mataifa. Hao wataukanyagakanyaga mji mtakatifu kwa muda wa miezi arobaini na miwili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options