Rukia maudhui
Zaburi 71:9-13

Taabu za Uzee na Dhihaka za Maadui

Zaburi 71:9-13
9
Usinitupe wakati wa uzee, wala usiniache nguvu zangu zinapopungua.
10
Kwa maana adui zangu wananisengenya, wale wanaonivizia kuniua wafanya hila.
11
Wanasema, “Mungu amemwacha, mkimbilieni mkamkamate, kwani hakuna wa kumwokoa.”
12
Ee Mungu, usiwe mbali nami, njoo haraka kunisaidia, Ee Mungu wangu.
13
Washtaki wangu na waangamie kwa aibu, wale wanaotaka kunidhuru na wafunikwe kwa dharau na fedheha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options