Zaburi 71:5-8
5
Kwa kuwa umekuwa tumaini langu, Ee Bwana Mwenyezi, tegemeo langu tangu ujana wangu.
6
Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe, ulinitoa tumboni mwa mama yangu. Nitakusifu wewe daima.
7
Nimekuwa kama kioja kwa wengi, lakini wewe ni kimbilio langu imara.
8
Kinywa changu kimejazwa sifa zako, nikitangaza utukufu wako mchana kutwa.
Settings