Rukia maudhui
Zaburi 66:16-20

Ushuhuda Binafsi wa Sala Iliyojibiwa

Zaburi 66:16-20
16
Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu, nami niwaambie aliyonitendea.
17
Nilimlilia kwa kinywa changu, sifa zake zilikuwa katika ulimi wangu.
18
Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu, Bwana asingekuwa amenisikiliza;
19
lakini hakika Mungu amenisikiliza na amesikia sauti yangu katika maombi.
20
Sifa apewe Mungu, ambaye hakulikataa ombi langu wala kunizuilia upendo wake!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options