Skip to content
Zaburi 67:1-2

Zaburi 67:1-2

1
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo. Mungu aturehemu na kutubariki, na kutuangazia nuru za uso wake,
2
ili njia zako zijulikane duniani, wokovu wako katikati ya mataifa yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options