Rukia maudhui
Zaburi 58:10-11

Kutetewa kwa Hukumu ya Mungu ya Haki

Zaburi 58:10-11
10
Wenye haki watafurahi waonapo wakilipizwa kisasi, watakapochovya nyayo zao katika damu ya waovu.
11
Ndipo wanadamu watasema, “Hakika utulivu wa wenye haki bado una thawabu, hakika kuna Mungu ahukumuye dunia.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options