Rukia maudhui
Zaburi 56:8-11

Mungu Anakumbuka Mateso Yangu

Zaburi 56:8-11
8
Andika maombolezo yangu, orodhesha machozi yangu katika gombo lako: je, haya hayapo katika kumbukumbu zako?
9
Ndipo adui zangu watarudi nyuma ninapoita msaada. Kwa hili nitajua kwamba Mungu yuko upande wangu.
10
Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu, katika Bwana, ambaye neno lake ninalisifu,
11
katika Mungu ninatumaini, sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options