Skip to content
Zaburi 56:5-7

Zaburi 56:5-7

5
Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu, siku zote wanapanga shauri la kunidhuru.
6
Wananifanyia hila, wanajificha, wanatazama hatua zangu, wakiwa na shauku ya kuutoa uhai wangu.
7
Wasiepuke kwa vyovyote, Ee Mungu, katika hasira yako yaangushe mataifa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options