5
Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu, siku zote wanapanga shauri la kunidhuru.
6
Wananifanyia hila, wanajificha, wanatazama hatua zangu, wakiwa na shauku ya kuutoa uhai wangu.
7
Wasiepuke kwa vyovyote, Ee Mungu, katika hasira yako yaangushe mataifa.