Skip to content
Zaburi 56:12-13

Zaburi 56:12-13

12
Ee Mungu, nina nadhiri kwako, nitakutolea wewe sadaka zangu za shukrani.
13
Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti na miguu yangu kwenye kujikwaa, ili niweze kuenenda mbele za Mungu katika nuru ya uzima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options