Rukia maudhui
Zaburi 149:1-3

Zaburi 149:1-3

1
Msifuni Bwana. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.
2
Israeli na washangilie katika Muumba wao, watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.
3
Na walisifu jina lake kwa kucheza na wampigie muziki kwa matari na kinubi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options