Rukia maudhui
Zaburi 134:1-2

Wito kwa Watumishi wa Hekalu

Zaburi 134:1-2
1
Wimbo wa kwenda juu. Msifuni Bwana, ninyi nyote watumishi wa Bwana, ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya Bwana.
2
Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options