- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
SHINI: Amani Licha ya Mateso na Furaha Katika Neno
Zaburi 119:161-168
161
Watawala wamenitesa bila sababu, lakini moyo wangu unatetemeka kwa neno lako.
162
Nafurahia ahadi zako kama mtu aliyepata mateka mengi.
163
Ninachukia na kuchukizwa sana na uongo, lakini napenda sheria yako.
164
Ninakusifu mara saba kwa siku, kwa ajili ya sheria zako za haki.
165
Wanaopenda sheria yako wana amani tele, wala hakuna kitu kinachoweza kuwakwaza.
166
Ee Bwana, ninangojea wokovu wako, nami ninafuata amri zako,
167
Ninazitii sheria zako, kwa sababu ninazipenda mno.
168
Nimetii mausia yako na sheria zako, kwa kuwa njia zangu zote zinajulikana kwako.
Settings