- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
SAMEKI: Kujitolea Kumkimbilia Mungu
Zaburi 119:113-120
113
Ninachukia watu wa nia mbili, lakini ninapenda sheria yako.
114
Wewe ni kimbilio langu na ngao yangu, nimeweka tumaini langu katika neno lako.
115
Ondokeni kwangu, ninyi mtendao mabaya, ili niweze kushika amri za Mungu wangu!
116
Nihifadhi sawasawa na ahadi yako, nami nitaishi; usiache matumaini yangu yakavunjwa.
117
Nitegemeze, nami nitaokolewa, nami daima nitayaheshimu maagizo yako.
118
Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako, kwa maana udanganyifu wao ni bure.
119
Waovu wa nchi unawatupa kama takataka, kwa hivyo nazipenda sheria zako.
120
Mwili wangu unatetemeka kwa kukuogopa wewe, ninaziogopa sheria zako.
Settings