Rukia maudhui
Zaburi 115:1-3

Ombi la Utukufu wa Mungu

Zaburi 115:1-3
1
Sio kwetu sisi, Ee Bwana, sio kwetu sisi, bali utukufu ni kwa jina lako, kwa sababu ya upendo na uaminifu wako.
2
Kwa nini mataifa waseme, “Yuko wapi Mungu wao?”
3
Mungu wetu yuko mbinguni, naye hufanya lolote limpendezalo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options