Skip to content
Zaburi 115:4-8

Zaburi 115:4-8

4
Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu, zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.
5
Zina vinywa, lakini haziwezi kusema, zina macho, lakini haziwezi kuona;
6
zina masikio, lakini haziwezi kusikia, zina pua, lakini haziwezi kunusa;
7
zina mikono, lakini haziwezi kupapasa, zina miguu, lakini haziwezi kutembea; wala koo zao haziwezi kutoa sauti.
8
Wale wanaozitengeneza watafanana nazo, vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options