Skip to content
Zaburi 115:9-11

Zaburi 115:9-11

9
Ee nyumba ya Israeli, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
10
Ee nyumba ya Aroni, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
11
Ninyi mnaomcha, mtumainini Bwana, yeye ni msaada na ngao yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options