Skip to content
Zaburi 114:7-8

Uwepo wa BWANA Wadai Kicho

Zaburi 114:7-8
7
Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
8
aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options