Rukia maudhui
Zaburi 113:4-6

Ukuu na Utukufu wa Mungu Usio na Kifani

Zaburi 113:4-6
4
Bwana ametukuka juu ya mataifa yote, utukufu wake juu ya mbingu.
5
Ni nani aliye kama Bwana Mungu wetu, Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,
6
ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options