Skip to content
Zaburi 113:1-3

Zaburi 113:1-3

1
Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
2
Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
3
Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake, jina la Bwana linapaswa kusifiwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options